Uongozi wa Skuli ya Biashara (ZCSS) - Zanzibar, inawatangazia wanafunzi wote kuwa, Skuli itafunguliwa siku ya Jumatatu sawa na January 04, 2016.
Wanafunzi wote wanatakiwa wawe wamefika skulini saa 12:45 asubuhi. Vile vile wanatakiwa kutayarisha ada ya Skuli ili kuweza kulipa kwa wakati, kwa sababu hakuna kinachoweza kutekelezwa (kama huduma na mengineyo) bila mchango wa ada.
Tangazo hili limetolewa kwa kuzingatia matakwa ya uongozi wa Skuli (ZCSS).
N.B:
Wanafunzi wote wanatakiwa wawe wamefika skulini saa 12:45 asubuhi. Vile vile wanatakiwa kutayarisha ada ya Skuli ili kuweza kulipa kwa wakati, kwa sababu hakuna kinachoweza kutekelezwa (kama huduma na mengineyo) bila mchango wa ada.
Tangazo hili limetolewa kwa kuzingatia matakwa ya uongozi wa Skuli (ZCSS).
Ahsanteni...!
N.B:
"Our Motto is to provide a quality education in such that it can be benefited to the Learners"
Mambo yameanzaa!..
ReplyDeleteOk asante kwa kut kutujuilisha habar hii inshaaallah mungu akipenda tutafika kwa wakat na kuchangia kwa kadri mungu atakavyotujaaalia kipato
ReplyDeleteTumesikiaa
ReplyDeleteUkiwa hauna pesa utarudi kwenu..By uongozii.
ReplyDeleteMm naon km ntafngua wik ijayo
ReplyDeleteMm naon km ntafngua wik ijayo
ReplyDeleteMm naon km ntafngua wik ijayo
ReplyDeletehahahha,,,,kwan io skuli ya baba akoo
ReplyDeleteahhhh wacheni ujinga
ReplyDeletekama hamna kazi laleni
wee kskoge ukalaleeee
Delete